• Talk To us : +255 (0) 753 264000

Usajili wa sanjo ya busiya

Wana Ukoo niwaletee salamu za upendo.

Leo hii Ntemi Makwaia III, wa XXIII wa Busiya hapa Dodoma nimefanya kikao na Afisa Mwandamizi kutoka Wizara ya Mambo ya Ndani kwa lengo la kurasimisha Utemi wetu wa Busiya, tutambulike kisheria na kuzilinda rasilimali zetu yakiwemo mashamba na mali kale zetu zote. Wizara imetupa miongozo na mchakato huu utaanza mara moja.

Ntemi Makwaia III, wa XXIII wa Busiya.

Leave a Reply

Your email address will not be published.

You may use these <abbr title="HyperText Markup Language">HTML</abbr> tags and attributes: <a href="" title=""> <abbr title=""> <acronym title=""> <b> <blockquote cite=""> <cite> <code> <del datetime=""> <em> <i> <q cite=""> <s> <strike> <strong>

*